Inachekesha coz katembelea Tz au?This thread inanichekesha sana
Lazima ikuchekeshe. Do you know how the bigger ships turn around? Slowly...by the button called trim tab [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]This thread inanichekesha sana
nazan... Bila shaka hii ndo sahihi Nadhaniuwaba ndio nini?
very weird threadππ
nazan umesahau kutaja kuwa nyota huyo ni Mkenya
mimi ninaweza nikakufunza kiswahili pamoja na kizazi chako chote...hilo neno 'nazan' nimeandika hivyo makusudi ili kufupisha... stop being an idiot...pay attention to more important details..nazan... Bila shaka hii ndo sahihi Nadhani
uwaba ndio nini?
very weird threadππ
nazan umesahau kutaja kuwa nyota huyo ni Mkenya
Labda uwe unatoka BAKITA ndo utanifundisha. Na hiyo si kusudi, Kama ni hivyo povu la nini?mimi ninaweza nikakufunza kiswahili pamoja na kizazi chako chote...hilo neno 'nazan' nimeandika hivyo makusudi ili kufupisha... stop being an idiot...pay attention to more important details..