Chakala chakala mashwetani yamenipanda!![emoji83]...dah nyota wetu ameenda uswahilini kutafuta nn jamani, anaweza akadhurika huko kwa wivu na vijicho vyao dhidi yetu..ila akienda kukwea kale kamlima pendwa ningemshauri ahakikishe amewabebesha wale porters wao pale mizigo ya ukweli, mie niliwabebeshaga watatu kila mmoja kilo sabini kichwani, afu mwendo kasi hadi kileleni! Aisee nilifarijika moyoni sana..
Hii hapa ni picha halisi waswahili wanavofurahikia ujio wa huyu nguli wa kikenya
Hivi kuna nn kibaya hapo hadi tunagombana watanzania na wakenya? Wanyama kaja kutembea tu Tanzania and he will remain a Kenyan citizen..everybody knows that.
Wanyama is a great football star...Every body love to have him..