Wazungu ndiyo wanapenda sana ushoga!Angeibuka na mwanaume mwenzie akasema huyu mume wangu wangempongeza Kwa ujasiri..
Haram imekuwa halali na halali imekuwa haram..
Hata wewe unaweza kujitokeza, hata humu humu mitandaoniAngeibuka na mwanaume mwenzie akasema huyu mume wangu wangempongeza Kwa ujasiri..
Haram imekuwa halali na halali imekuwa haram..
Ushonga uzunguni umeanza siku nyingi mkuu zaidi ya karne tatu zilizopita. Kumbuka Sodoma na Gomola.Waafrika wanavyopenda kuiga usishangae baada ya miaka 20 machoko yakawa mengi huku kuliko huko Ulaya
Mchezaji akipiga goli tatu pekeyake inaitwa hat trick.Na wote wamejaa mimba zinazolinganalingana [emoji4]
Tembea uone uliza wazee wa kizungu wakuambie miaka 50 mashoga walikuwa wanafanywa nini? Hakuna kipya chini ya juaUshonga uzunguni umeanza siku nyingi mkuu zaidi ya karne tatu zilizopita. Kumbuka Sodoma na Gomola.
Hao wazungu mbona hawawakosoi mashoga,sisi ngozi nyeusi tunamiliki hata wanawake 10 ni mfuko wako tuNyota wa Nigeria kwenye mtandao aliyehuduria harusi pamoja na wapenzi wake sita wenye ujauzito akosolewa na umma Gazeti la Daily Mail la Uingereza limesema, nyota wa Nigeria kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram anayejulikana kama " Pretty Mike " amehudhuria sherehe moja ya harusi akiambatana na wapenzi wake sita wenye ujauzito , huku akisema yeye ndio mhusika na ujauzito wa wanawake hao wote . Nyota huyo mwenye mashabiki laki 3 kwenye Instagram pia amewabusu wapenzi wake na kupapasa matumbo yao . Kitendo hicho kimezusha hasira ya umma na kukosolewa na watumiaji wengi wa mitandao ya kijamii.
View attachment 1635635
Hii aione warumi [emoji4]View attachment 1635644View attachment 1635645View attachment 1635646View attachment 1635647View attachment 1635648