Nyota ya mmasai Kili Paul inavyozidi kung'aa huko India

Nyota ya mmasai Kili Paul inavyozidi kung'aa huko India

Hakika, tuweke tahadhari maana kanjibahi nao hawavumi ila wamo
 
Naona ma bint wa kihind wanawaka kwa mshikaji soon ataanza kuwanyandua
Kabisa yaani, wengine wameomba na gemu kabisa... Wanamsifia kinoma! Mwamba akizichanga vizuri atatoka nacho hata kimoja 🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom