Nyota ya mmasai Kili Paul inavyozidi kung'aa huko India

Next time asimuache mdogo ake Neema
 
Hakika, tuweke tahadhari maana kanjibahi nao hawavumi ila wamo
 
Naona ma bint wa kihind wanawaka kwa mshikaji soon ataanza kuwanyandua
Kabisa yaani, wengine wameomba na gemu kabisa... Wanamsifia kinoma! Mwamba akizichanga vizuri atatoka nacho hata kimoja 🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…