Nyota zenu: Siku nzuri za kutongoza / kutongozwa na mbaya kwa kila nyota

Nyota zenu: Siku nzuri za kutongoza / kutongozwa na mbaya kwa kila nyota

STUNTER

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2015
Posts
13,076
Reaction score
17,247
1.NYOTA YA TWIGA:
Majina ya kuanzia na herufi A, M, Y.
Siku yao nzuri: Jumanne mchana Siku Mbaya: Jumanne usiku na Jumatano mchana Ni siku za Mikosi,
kutoswa, Kesi, na mabalaa, usitongoze, ni siku ya
mikosi na balaa kwa wale ambao ndio wameanza
kujiunga JF.
-

2.NYOTA YA MBUNI:
Majina ya kuanzia na herufi B, N, Z. Siku yao nzuri ya kutongoza ni : Jumatano mchana
Siku Mbaya: Jumamosi na Jumatano usiku Shida
yoyote ikikufikia wakati huu haiponi au itakumaliza.

-
3.NYOTA YA SAMSUNG GALAXY:
Majina yao kuanzia na herufi C, na O.
Siku yao nzuri: Jumatano mchana Siku Mbaya: Jumanne usiku na Jumatatu mchana
usipende ku like Thread za misiba

-
4.NYOTA YA PAPAI:
Majina ya kuanzia na herufi D au P.
Siku yao nzuri: Jumatatu mchana yakutongozana Siku
Mbaya: Jumanne mchana usipende kumtumia mtu salio au m-pesa utaibiwa

-
5.NYOTA YA BLACKBERRY.
Majina ya kuanzia na herufi E na Q Siku yao nzuri:
yakutongozana Jumapili Siku Mbaya: Alhamisi
mchana na Jumatatu mchana usipende kuapload
picha umeweka kidole juu siku ya jumamos usiku
-
6.NYOTA YA MENDE:
Majina yao kuanzia na herufi F na R. Siku yao nzuri:
Jumatano mchana Siku Mbaya: Jumanne jioni alafu
usipende kukopa tigo ndio uingie JF ipo siku watakata
deni kubwa

-
7. NYOTA YA CHATU: Majina ya kuanzia na herufi G na S. Siku yao nzuri ya
kutongozana: Ijumaa mchana Siku Mbaya: Jumatano
mchana na Jumapili usiku usipende kushinda inbox
siku ya jumanne usiku saa8 utakumbana na mabalaaa.

-
8.NYOTA YA TEMBO:
Majina ya kuanzia na herufi H na T. Siku yao nzuri yakutongozana: Jumanne mchana Siku Mbaya:
Jumatano mchana na Jumapili usiku pia usipende
kutumia camera 360 kupigia picha.

-
9.NYOTA YA MAMBA:
Majina ya kuanzia na herufi I na U. Siku yao nzuri
yakutongozana: Alhamisi mchana Siku Mbaya: Jumatatu mchana Uwe unakula kwanza ndio unaingia
JF ipo siku utadondoka kwenye home page

-
10.NYOTA YA NGURUWE:
Majina ya kuanzia na herufi J na V. Siku yao nzuri
yakutongozana: Jumamosi Siku Mbaya: Jumapili
mchana na Jumatatu usiku ukiwa una apload picha uwe uchi utapata wasichana kama wewe ni mvulana
na utapa wavulana kama wewe ni msichana

-
11.NYOTA YA BESENI:
Majina ya kuanzia na herufi K na W. Siku yao nzuri:
Jumamosi mchana Siku Mbaya: Ijumaa mchana
(Kufikwa na janga) kuhackiwa account.
-
12.NYOTA YA NYANGUMI:
Majina ya kuanzia na herufi L na X. Siku yao nzuri:
Alkhamisi yakutongozana (Fanya mipango na
biashara kuanzia asubuhi mapema) Siku Mbaya:
Jumamosi mchana na Jumanne usiku usipende
kukesha Jamiiforums mpaka saa8 usiku utakutana na popobawa mitaa ya home page
MWISHO
-
UTABIRI HUU UMEDHAMINIWA NA TIGO
TANZANIA WAKISHILIKIANA NA TANESCO KATA
 
Naona hapo kila mtu siku nzuri ni jumatano mchana, fix tu
 
bae una vituko wakati mwingine ujue, umefikiria nini kwa mfano.

BTW ile ishu umemalizana nao? umesahau kunipa feedback
 
bae una vituko wakati mwingine ujue, umefikiria nini kwa mfano.

BTW ile ishu umemalizana nao? umesahau kunipa feedback
Hahaha Mi mwenyewe sijui ilikuaje hadi nikaitundika hii thread... Then kuhusu hiyo ishu twenzetu paradise
 
Nyota ya Sumsang Galaxy ? Nimecheka tu utafanyaje
 
Hakika elimu elimu elimu, maana unaweza fikiria ni FURSA kumbe FUNZA

hata vimavi sikuhizi huesabiwa ni vipaji ......ukiona matawi yananyauka ujue mizizi hoi, bila tahadhari mti utapotea
 
Hahaha... shunie umeiona herufi yako?
Usipate tabu mkuu herufi yake na yangu zinaendana nyota yetu ya chatu. Kesho ndo ijumaa nasubiria nitie vocal nimkamatie mtoto.
Lakini masharti hukusema mchana wa saa ngapi niweke alarm [emoji1] [emoji23]
 
dah.. STUNTER nilikua nakuaminia kinoma kumbe ni mganga wa kienyeji [emoji53] [emoji53] [emoji53]
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] ....
 
Back
Top Bottom