Kitumburee
Senior Member
- Jan 31, 2012
- 142
- 88
Poleni na majukumu wakuu.
Nimejenga nyumba yangu iko ktk hatua ya kupaua ila nimeona katika madirisha matatu kumetokea (nyufa nyembamba sana) unakua ni ufa mmoja tu unata juu mwenda chini.
Fundi anasema ni kawaida nyufa kutokea madirishani na zitarekebishwa wakati wa kupiga llaster, je kuna ukweli wowote?
Nimejenga nyumba yangu iko ktk hatua ya kupaua ila nimeona katika madirisha matatu kumetokea (nyufa nyembamba sana) unakua ni ufa mmoja tu unata juu mwenda chini.
Fundi anasema ni kawaida nyufa kutokea madirishani na zitarekebishwa wakati wa kupiga llaster, je kuna ukweli wowote?