Kitumburee
Senior Member
- Jan 31, 2012
- 142
- 88
Shukran kwa kunitoa wasiwasiNdiyo ukweli upon,wakati najenga kibanda changu kimoja ilitokea,baadaye fundi wa plasta aliweka wire mesh in miaka 6 sasa haijatokea crack
Hiyo expansion joint wanawekaje? Unaweza share picha nione?Kawaida mkuu ,ndio maana wengi siku hizi katikati ya madirisha wanaweka expansion joint.
Hiyo expansion joint wanawekaje? Unaweza share picha nione?
Nadhani uneongea kiufundi na hii ndio point .nasoma comment yako nikaangalia juu nikaona kweli fundi hakupiga mbao kuzunguka jengo.na hii creck ninayo kwenye dirisha 3.nilishapiga hiyo wire mesh wakati wa plaster Ila naona Kwa mbaaali zimerudiWakati wa kupiga kenchi uliweka ubao juu ya ukuta kuzunguka jengo lote yaani wall plate? Au uliweka vipisi vipisi kenchi inamokalia?
Kama uliweka vipisi Basi hiyo ndio sababu unakuwa umesababisha point load badala ya kufanya uniformly distribution load
Si kweli, ni ujenzi bila pipe level. Yaani matofali yanapishana pishana. Ni kawaida kwa vile mafundi wanalipua ili wamalize kazi hawafanyi kiufasahaNi kawaida
Thanks mkuu. Sasa ukipiga plasta hapo huo uwazi si utaonekana kama ufa? Au wire mesh ikitumika inasolve hilo?Katikati ya dirisha wakati wa kujenga unaacha uwazi kama huo wa njano kwenye picha,tofali haziumani na hauweki mota.
View attachment 1720233
OkaySi kweli, ni ujenzi bila pipe level. Yaani matofali yanapishana pishana. Ni kawaida kwa vile mafundi wanalipua ili wamalize kazi hawafanyi kiufasaha
Thanks mkuu. Sasa ukipiga plasta hapo huo uwazi si utaonekana kama ufa? Au wire mesh ikitumika inasolve hilo?
Nmekupata mkuu. Asante kwa ufafanuziNdio maana kwenye ujenzi wanashauri ufuate steps za ujenzi ,ukishajenga unaiacha kwa muda ititie na kujiweka sawa,wakati inajiweka sawa ndio hizo expansion joint zinasaidia kutokea kwa nyufa,nyumba ikishatulia ikisha kuwa stable hata ukipiga plasta hakuna shida.
KabisaNatumae mleta mada umepata muongozo...
Sijawahi ona hii, embu tupia picha kama tz inafanyika hii.Wakati wa kupiga kenchi uliweka ubao juu ya ukuta kuzunguka jengo lote yaani wall plate? Au uliweka vipisi vipisi kenchi inamokalia?
Kama uliweka vipisi Basi hiyo ndio sababu unakuwa umesababisha point load badala ya kufanya uniformly distribution load