Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Kunywa maji ya baridi.Nyuma mwiko kwetu. Lazima alie mtu hapa. Kipigo cha Mbwa Mwizi anakipata hapa. Yaani akijitahidi sana kuzuia 3. Mbali na hapo ni mwendo wetu ule ule wa kutandika makofi tu. 5 kwa nunge.
Si wametaka kiti? Tunawapa hadi kitanda wakalale. Na hawa Mbwa wanajiita Simba. Wakijitahidi sana Draw. Ila wanakuja kupigwa hapa. Vibaya. Na kule wakienda nako wanaenda kupigwa.
Nyuma Mwiko.
Mida yetu wanafikiNyuma mwiko kwetu. Lazima alie mtu hapa. Kipigo cha Mbwa Mwizi anakipata hapa. Yaani akijitahidi sana kuzuia 3. Mbali na hapo ni mwendo wetu ule ule wa kutandika makofi tu. 5 kwa nunge.
Si wametaka kiti? Tunawapa hadi kitanda wakalale. Na hawa Mbwa wanajiita Simba. Wakijitahidi sana Draw. Ila wanakuja kupigwa hapa. Vibaya. Na kule wakienda nako wanaenda kupigwa.
Nyuma Mwiko.
Vipi ikiwa 🐸🐸ndio watalia?Nyuma mwiko kwetu. Lazima alie mtu hapa.
Hakuna kitu kama hicho.Vipi ikiwa 🐸🐸ndio watalia?
Tunawachola ❌Sisi wa south wa kwa mtogole tunawachola tu maana mtapigwa kama ngoma[emoji1787]
AahaaMida yetu wanafiki
MUDA DAY itakuwa siku ya mazishi kwa 🐸🐸Hakuna kitu kama hicho.
Umefufua kaburi smart 😁
Mamelodi 3 Yanga 2 na kweli mlimpigaNyuma mwiko kwetu. Lazima alie mtu hapa. Kipigo cha Mbwa Mwizi anakipata hapa. Yaani akijitahidi sana kuzuia 3. Mbali na hapo ni mwendo wetu ule ule wa kutandika makofi tu. 5 kwa nunge.
Si wametaka kiti? Tunawapa hadi kitanda wakalale. Na hawa Mbwa wanajiita Simba. Wakijitahidi sana Draw. Ila wanakuja kupigwa hapa. Vibaya. Na kule wakienda nako wanaenda kupigwa.
Nyuma Mwiko.