NYUMA YA KIBODI

Lady of Destiny1

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2019
Posts
588
Reaction score
851
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732]

Naanza kwa kucheka Mana najionea Hadi huruma

Nyuma ya kibodi ,najua kujieleza vibaya sana stori za hapa na pale ,najua kujitetea Sana

Live:Siyo muongeaji, siwezi kujitetea (japo Nina ujasiri),Sina stori Wala Nini ,watu wengi Sana huwa wanasema dada mbona wewe mpole Sana,unatia huruma Sana

Ukiniuzi naweza kulia ,ukitaka vichambo (Kama nimekasirika ) Basi tutumie sms
Live unanionea tu,[emoji24][emoji24][emoji1751][emoji134],nilikutana na wadada dizain ya wadada wa mwananyamala nahisi sintaongea kabisa

Kwa mpenzi wangu naweza nikawa naye Ila nikamtext Kama Kuna kitu nahitaji kumwambia (aibu)

Tuambie nyuma ya kibodi upoje
 
Nyuma ya kiibodi unaweza ukamkashifu jiwe, bashite, nk. Ukikutana nao live sasa, full respect! shikamoo mara mbili mbili hata kama umewazidi umri.
 

Binafsi tunafanana hapo kwenye kumuomba mpenzi naweza nikawa na shida nisiweze kusema ikinikaba sana natuma meseji, vilevile nyuma ya kibodi mimi mkali balaa ukinizingua aisee hutaamini kama ndo mimi sipendagi kusema sana na huu uchibonge wangu nakuvizia tu nikikukalia umeumia maneno mengi sipendagi!!! Kingine mimi ni mvumilivu mnoo ila nikisema imetosha aisee lazma unitafute na tochiii..
 
Hahahahaa
 
nikajua nyuma ya ki body kuna chura kumbe unasema nyuma ya hizi IDs zetu. ok mm mpenzi msomaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…