Nyuma ya pazia kinachoendelea CHADEMA

Nyuma ya pazia kinachoendelea CHADEMA

Raia Fulani

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2009
Posts
11,478
Reaction score
3,659
Nafuatilia kinamna siasa za nchi hii. Ni siasa za kihuni sana. Siasa ambazo wanasiasa wanaamini hawawezi kuishi bila siasa.

Hawawezi kuishi bila kuwa chama tawala. Hawawezi kujitegemea bila Dola na viambatanishi vyake.

Ni siasa za kukereketa, hasa ukiwa nje ya chama tawala. Ni siasa za kufa na kupona. Kumbe kuna maisha baada ya siasa.
Kwa upande wa pili siwalaumu sana upinzaani kutokana na mazingira niliyoeleza hapo juu. Wapo watu na huwa sijui huwa wanatoa wapi uthubutu huo wa kukosoa, na ukiwafuatilia wala sio wanasiasa.

Wiki hii na iliyopita zilikuwa ni wiki za CHADEMA. Tumeshuhudia chama kwa umoja wake kikifanya press/mkutano na kuzungumza yanayohusu chama na mustakabali wake wa kisiasa kuelekea 2025. Hatujapo, M/Mwenyekiti mzee Lissu naye akasema ataitisha press. Na kweli kaitisha na kaongea haswa. Kwamba naye sasa anautaka uenyekiti. Aliongea bila kupepesa.

Tukio hilo limanirejesha nyuma kidogo kwa habari ya Dr. Slaa. Baada ya Lowasa ((RIP) kukaribishwa chamani kwa lengo la kugombea urais kupitia CHADEMA, jambo hilo halikumfurahisha Dr. Slaa. Naye aliitisha press na kutema nyongo. Tulidhani ni mbinu za kisiasa dhidi ya CCM kumbe mzee alikuwa serious. Baadaye akakibwaga chama na kuungana na watesi. Babati nzuri chama kiliendelea kuwa imara japo misukosuko ilikuwa mingi.

Zikapita nyakati ukaja uchaguzi wa wenyeviti w kanda CHADEMA. Palipokuwa pagumu na penye mvuto palikuwa kanda ya Nyasa ambapo Sugu na Msigwa walikuwa wanawania nafasi hiyo.

Mdahalo ule kati ya wagombea niliuona kupitia Star Tv. Kiukweli wale wagombea walikuwa serious sana. Kadhalika kwa manibizano.yale japo wakati mwingine yalijaa ukakasi, sikutaka kuamini kwamba walimaanisha. Nilijua ni mbinu za kichama na kutanuka kwa demokrasia. Kwamba wanaionyesha CCM kuwa wao wanajibizana kwa hoja na hakuna kuogopana.

Uchaguzi ukapita na Msigwa akabwagwa. Naye akasema ataitisha press. Nikajua tena ni mikakati ya kichama, ila haikuwa hivyo. Baadae akakimwaga chama na kuungana na watesi. Bado chama kiliendelea kuwa imara.

Leo tena historia inaendelea kujirudia. Chama kimejaa fukuto. Nafasi ya uenyekiti inawaniwa na Lissu na bila shaka Mbowe. Lissu anazungumza bila kupepesa.

Anamsema Mwenyekiti bila kificho. Bado natamani kuamini kuwa ni mbinu na mikakati ya kichama dhidi ya CCM. Bado nataka kuendelea kuamini kuwa Lissu na Mbowe wako imara.

Wana ajenda dhidi ya CCM.
Tunasubiri uchaguzi ufanyike, tupate na matokeo. Na matokeo yawe ya amani. Tunajua pia kuwa CCM inahaha kila kona. Inshambulia hadharani na faraghani kuona tu, CHADEMA inakufa. Inasambaratika.

Kama ni mkakati wa kichama, na uwe wenye heri. Wapo walioanza kwa staili hiyo ila waliponogewa wakamaanisha kweli. Wakasaliti mikakati na kutokomea.

Lissu bila shaka sio wa hivyo. Naona kama wasemavyo wengine kuwa chama kinaenda kumeguka mapande mawili. Ili iweje? Kumfurahisha nani? CCM? Hapana.

Ikibidi, uchaguzi huu wa nafasi ya uenyekiti ufanyike kwa staha sana na uwazi sana na bila mizengwe. Atakyeshinda na ashinde kwa haki.kabisa.
Naamini safari hii historia haitajirudia. Hatatoka mtu kwenda kuungana tena na watesi. Tunaitamani Tanzania mpya
 
Nafuatilia kinamna siasa za nchi hii. Ni siasa za kihuni sana. Siasa ambazo wanasiasa wanaamini hawawezi kuishi bila siasa.

Hawawezi kuishi bila kuwa chama tawala. Hawawezi kujitegemea bila Dola na viambatanishi vyake.

Ni siasa za kukereketa, hasa ukiwa nje ya chama tawala. Ni siasa za kufa na kupona. Kumbe kuna maisha baada ya siasa.
Kwa upande wa pili siwalaumu sana upinzaani kutokana na mazingira niliyoeleza hapo juu. Wapo watu na huwa sijui huwa wanatoa wapi uthubutu huo wa kukosoa, na ukiwafuatilia wala sio wanasiasa.

Wiki hii na iliyopita zilikuwa ni wiki za CHADEMA. Tumeshuhudia chama kwa umoja wake kikifanya press/mkutano na kuzungumza yanayohusu chama na mustakabali wake wa kisiasa kuelekea 2025. Hatujapo, M/Mwenyekiti mzee Lissu naye akasema ataitisha press. Na kweli kaitisha na kaongea haswa. Kwamba naye sasa anautaka uenyekiti. Aliongea bila kupepesa.

Tukio hilo limanirejesha nyuma kidogo kwa habari ya Dr. Slaa. Baada ya Lowasa ((RIP) kukaribishwa chamani kwa lengo la kugombea urais kupitia CHADEMA, jambo hilo halikumfurahisha Dr. Slaa. Naye aliitisha press na kutema nyongo. Tulidhani ni mbinu za kisiasa dhidi ya CCM kumbe mzee alikuwa serious. Baadaye akakibwaga chama na kuungana na watesi. Babati nzuri chama kiliendelea kuwa imara japo misukosuko ilikuwa mingi.

Zikapita nyakati ukaja uchaguzi wa wenyeviti w kanda CHADEMA. Palipokuwa pagumu na penye mvuto palikuwa kanda ya Nyasa ambapo Sugu na Msigwa walikuwa wanawania nafasi hiyo.

Mdahalo ule kati ya wagombea niliuona kupitia Star Tv. Kiukweli wale wagombea walikuwa serious sana. Kadhalika kwa manibizano.yale japo wakati mwingine yalijaa ukakasi, sikutaka kuamini kwamba walimaanisha. Nilijua ni mbinu za kichama na kutanuka kwa demokrasia. Kwamba wanaionyesha CCM kuwa wao wanajibizana kwa hoja na hakuna kuogopana.

Uchaguzi ukapita na Msigwa akabwagwa. Naye akasema ataitisha press. Nikajua tena ni mikakati ya kichama, ila haikuwa hivyo. Baadae akakimwaga chama na kuungana na watesi. Bado chama kiliendelea kuwa imara.

Leo tena historia inaendelea kujirudia. Chama kimejaa fukuto. Nafasi ya uenyekiti inawaniwa na Lissu na bila shaka Mbowe. Lissu anazungumza bila kupepesa.

Anamsema Mwenyekiti bila kificho. Bado natamani kuamini kuwa ni mbinu na mikakati ya kichama dhidi ya CCM. Bado nataka kuendelea kuamini kuwa Lissu na Mbowe wako imara.

Wana ajenda dhidi ya CCM.
Tunasubiri uchaguzi ufanyike, tupate na matokeo. Na matokeo yawe ya amani. Tunajua pia kuwa CCM inahaha kila kona. Inshambulia hadharani na faraghani kuona tu, CHADEMA inakufa. Inasambaratika.

Kama ni mkakati wa kichama, na uwe wenye heri. Wapo walioanza kwa staili hiyo ila waliponogewa wakamaanisha kweli. Wakasaliti mikakati na kutokomea.

Lissu bila shaka sio wa hivyo. Naona kama wasemavyo wengine kuwa chama kinaenda kumeguka mapande mawili. Ili iweje? Kumfurahisha nani? CCM? Hapana.

Ikibidi, uchaguzi huu wa nafasi ya uenyekiti ufanyike kwa staha sana na uwazi sana na bila mizengwe. Atakyeshinda na ashinde kwa haki.kabisa.
Naamini safari hii historia haitajirudia. Hatatoka mtu kwenda kuungana tena na watesi. Tunaitamani Tanzania mpya
Ndugu zangu mimi nauliza uchaguzi wa chadema ni mwakani mwezi wa ngapi?.
 
Ikibidi, uchaguzi huu wa nafasi ya uenyekiti ufanyike kwa staha sana na uwazi sana na bila mizengwe. Atakyeshinda na ashinde kwa haki.kabisa.
Naamini safari hii historia haitajirudia. Hatatoka mtu kwenda kuungana tena na watesi. Tunaitamani Tanzania mpya
Naunga mkono hoja ila jambo la kwanza ni baada ya Lissu kutangaza kuwania uenyekiti, Mbowe must go!, asigombee!, hata kama wenye chama chao hawamtaki Lissu, basi wamtafutie mtu kama Heche, au JJ Mnyika, am knock Lissu left, right and center na sio Mbowe.
P
 
Nafuatilia kinamna siasa za nchi hii. Ni siasa za kihuni sana. Siasa ambazo wanasiasa wanaamini hawawezi kuishi bila siasa.

Hawawezi kuishi bila kuwa chama tawala. Hawawezi kujitegemea bila Dola na viambatanishi vyake.

Ni siasa za kukereketa, hasa ukiwa nje ya chama tawala. Ni siasa za kufa na kupona. Kumbe kuna maisha baada ya siasa.
Kwa upande wa pili siwalaumu sana upinzaani kutokana na mazingira niliyoeleza hapo juu. Wapo watu na huwa sijui huwa wanatoa wapi uthubutu huo wa kukosoa, na ukiwafuatilia wala sio wanasiasa.

Wiki hii na iliyopita zilikuwa ni wiki za CHADEMA. Tumeshuhudia chama kwa umoja wake kikifanya press/mkutano na kuzungumza yanayohusu chama na mustakabali wake wa kisiasa kuelekea 2025. Hatujapo, M/Mwenyekiti mzee Lissu naye akasema ataitisha press. Na kweli kaitisha na kaongea haswa. Kwamba naye sasa anautaka uenyekiti. Aliongea bila kupepesa.

Tukio hilo limanirejesha nyuma kidogo kwa habari ya Dr. Slaa. Baada ya Lowasa ((RIP) kukaribishwa chamani kwa lengo la kugombea urais kupitia CHADEMA, jambo hilo halikumfurahisha Dr. Slaa. Naye aliitisha press na kutema nyongo. Tulidhani ni mbinu za kisiasa dhidi ya CCM kumbe mzee alikuwa serious. Baadaye akakibwaga chama na kuungana na watesi. Babati nzuri chama kiliendelea kuwa imara japo misukosuko ilikuwa mingi.

Zikapita nyakati ukaja uchaguzi wa wenyeviti w kanda CHADEMA. Palipokuwa pagumu na penye mvuto palikuwa kanda ya Nyasa ambapo Sugu na Msigwa walikuwa wanawania nafasi hiyo.

Mdahalo ule kati ya wagombea niliuona kupitia Star Tv. Kiukweli wale wagombea walikuwa serious sana. Kadhalika kwa manibizano.yale japo wakati mwingine yalijaa ukakasi, sikutaka kuamini kwamba walimaanisha. Nilijua ni mbinu za kichama na kutanuka kwa demokrasia. Kwamba wanaionyesha CCM kuwa wao wanajibizana kwa hoja na hakuna kuogopana.

Uchaguzi ukapita na Msigwa akabwagwa. Naye akasema ataitisha press. Nikajua tena ni mikakati ya kichama, ila haikuwa hivyo. Baadae akakimwaga chama na kuungana na watesi. Bado chama kiliendelea kuwa imara.

Leo tena historia inaendelea kujirudia. Chama kimejaa fukuto. Nafasi ya uenyekiti inawaniwa na Lissu na bila shaka Mbowe. Lissu anazungumza bila kupepesa.

Anamsema Mwenyekiti bila kificho. Bado natamani kuamini kuwa ni mbinu na mikakati ya kichama dhidi ya CCM. Bado nataka kuendelea kuamini kuwa Lissu na Mbowe wako imara.

Wana ajenda dhidi ya CCM.
Tunasubiri uchaguzi ufanyike, tupate na matokeo. Na matokeo yawe ya amani. Tunajua pia kuwa CCM inahaha kila kona. Inshambulia hadharani na faraghani kuona tu, CHADEMA inakufa. Inasambaratika.

Kama ni mkakati wa kichama, na uwe wenye heri. Wapo walioanza kwa staili hiyo ila waliponogewa wakamaanisha kweli. Wakasaliti mikakati na kutokomea.

Lissu bila shaka sio wa hivyo. Naona kama wasemavyo wengine kuwa chama kinaenda kumeguka mapande mawili. Ili iweje? Kumfurahisha nani? CCM? Hapana.

Ikibidi, uchaguzi huu wa nafasi ya uenyekiti ufanyike kwa staha sana na uwazi sana na bila mizengwe. Atakyeshinda na ashinde kwa haki.kabisa.
Naamini safari hii historia haitajirudia. Hatatoka mtu kwenda kuungana tena na watesi. Tunaitamani Tanzania mpya
Machawa wa mzee Mbowe aliowandaa zaidi ya miaka ishirini ndio wataharibu huu uchaguzi
 
Naunga mkono hoja ila jambo la kwanza ni baada ya Lissu kutangaza kuwania uenyekiti, Mbowe must go!, asigombee!, hata kama wenye chama chao hawamtaki Lissu, basi wamtafutie mtu kama Heche, au JJ Mnyika, am knock Lissu left, right and center na sio Mbowe.
P
Dr,Mbowe ni liability kwenye chama kwa sasa ,hata kama alifanya mazuri ila alichelewa sana kuondoka na sasa anaonekana kuwa anangangania madara .Hii ni aibu kwa hadhi aliyokuwa nayo huu mzee aisee .He must Go ili chadema ipige hatua na si kuendelea kuonekana ni chama cha kikanda zaidi
 
Naunga mkono hoja ila jambo la kwanza ni baada ya Lissu kutangaza kuwania uenyekiti, Mbowe must go!, asigombee!, hata kama wenye chama chao hawamtaki Lissu, basi wamtafutie mtu kama Heche, au JJ Mnyika, am knock Lissu left, right and center na sio Mbowe.
P
Hata mimi kuna muda niliwaza kama Mbowe hatogombea, atakuwa na wadhifa gani ndani ya chama? Ndipo nikamkumbuka Zitto na ACT yao. Mbowe anaweza kukaa kando na kuachia damu mpya zipambane, ila chini ya uangalizi makini
 
Machawa wa mzee Mbowe aliowandaa zaidi ya miaka ishirini ndio wataharibu huu uchaguzi
Huu nao ni ukweli. Hawa wajumbe wanaweza kuwa tatizo. Wana mirija yao kwa Mwenyekiti wa sasa. Sasa akija mwingine mirija yao inakata
 
Pia inaweza kua mbinu kurudisha chadema midomoni mwa watu siasa ni akili maana Lissu anaamika na watu wengi
 
Naunga mkono hoja ila jambo la kwanza ni baada ya Lissu kutangaza kuwania uenyekiti, Mbowe must go!, asigombee!, hata kama wenye chama chao hawamtaki Lissu, basi wamtafutie mtu kama Heche, au JJ Mnyika, am knock Lissu left, right and center na sio Mbowe.
P
Dah, now this is politics...
😂
Ila kuwa mwenyekiti wa chama cha siasa Tanzania ni sawa na kupewa buyu la asali,

Sidhan kama FAM alijiandaa kuachia chama kipindi hiki...

CDM ni ya elites, TL is far from it... Hawamwamini, hawawezi fanya nae mipango ikapangika.
Back up ya TL ni Diaspora wengi wanasubir weekly salaries Ulaya na Merikani.....

Easier said than Done.
 
Naunga mkono hoja ila jambo la kwanza ni baada ya Lissu kutangaza kuwania uenyekiti, Mbowe must go!, asigombee!, hata kama wenye chama chao hawamtaki Lissu, basi wamtafutie mtu kama Heche, au JJ Mnyika, am knock Lissu left, right and center na sio Mbowe.
P
Naona wengi wamechoshwa na ustaarabu wa Mbowe. Wanataka twende kimisukosuko muda wote. Na watu pekee ni mfano wa Lissu na Heche.

Binafsi Mbowe ni kama Jakaya tu. Watoto wa mjini. Hawapendi siasa ngumu ngumu ila wanajua kusulubu.

Staili hii ya Mbowe na pengine ndiyo imeifanya Chadema kufika hapa ilipo. Vinginevyo vyombo vyetu vilivyojaa uchama vingekwisha ifutilia mbali chadema.

Kwa ilipofikia Chadema ni sahihi inaweza kwenda bila ya uenyekiti wa Mbowe. Ila kwa siasa za hao wengine na wimbi kubwa la vijana inahitaji umakini mkubwa sana katika kutenda haki.

Vinginevyo, tutarajie magereza kujaa watu kwa matukio ya kisiasa.

Idumu Tanzania imara na yenye ustawi wa haki.
 
Pia inaweza kua mbinu kurudisha chadema midomoni mwa watu siasa ni akili maana Lissu anaamika na watu wengi
Ni kweli. Ndio maana nikasema, na iwe kama sehemu ya mikakati. Asitokee mtu kufanya tofauti
 
Back
Top Bottom