Habari wadau,nilipita eneo flani hapa dar nikasikia vijana wakibishana,upande mmoja ulikua unasema ukipata pesa afadhali ufanye biashara kwanza ndo baadae biashara ije ikupe makazi,yaani ujenge nyumba yako ya kuishi na upande wa pili ulikua unasema bora nyumba kwanza halafu ndo uje ufanye biashara sasa wewe mwenye ndoto za kuwa mjasiriamali siku moja unadhani kipi ni bora?
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums