INAUZWA NYUMBA BEI CHEE (Shinyanga)

G.T.L

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2012
Posts
1,254
Reaction score
2,519
Sifa za Nyumba:-
  • Nyumba ina Ofa
  • Plot No. 104 Block-DD
  • Nyumba ina vyumba vitatu na sebule tatu
  • Ina Maji
Sifa za kiwanja:-
  • High Density
  • Measuring 684 Square Meters
  • Eneo liko karibu na barabara mtaa wa Ngokolo Mapinduzi - SHINYANGA MANISPAA
BEI Ni TSHS, 25,000,000/= (Million 25).

Bei inapungua.

CONTACTS:- 0717-020751 na 0765-121003


 

Attachments

  • IMG-20170825-WA0002.jpg
    59.8 KB · Views: 98
  • IMG-20170825-WA0010.jpg
    50.5 KB · Views: 86
  • IMG-20170825-WA0011.jpg
    68.4 KB · Views: 82
ok nimekuelewa mkuu ila jitahidi uweke picha zaidi hasa ndani ili wadau wazione
 
ok nimekuelewa mkuu ila jitahidi uweke picha zaidi hasa ndani ili wadau wazione
asante kwa ushauri, lakini pia akipatikana mtu anaweza kujenga nyumba ingine kwa mbele maana kiwanja ni kikubwa
 
Acha masihara bana hizo ndopicha za mil 25??
 
Kwa shinyanga hiyo nyumba labda uuze mil 7
 
Duuuuuuuhhhhh, nyumba hujajenga wewe kwanini uwake tamaa ya pesa nyungi.
Sijalijua vizuri eneo hilo ila hiyo nyumba haina ubora, pia Shinyanga hapajastawi sana.
25 milions si mchezo kwa maisha ya kitanzania.
 
Duuuuuuuhhhhh, nyumba hujajenga wewe kwanini uwake tamaa ya pesa nyungi.
Sijalijua vizuri eneo hilo ila hiyo nyumba haina ubora, pia Shinyanga hapajastawi sana.
25 milions si mchezo kwa maisha ya kitanzania.
Huzuiwi kushea unachofikiria wewe, ukiona inafaa nitaftie mteja
 
Mkuu, hiyo Nyumba ingekuwa imefanyiwa finishing ungeiuza shilingi ngapi??.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…