Nyumba, Duka vinauzwa na NMB Bank

Nyumba, Duka vinauzwa na NMB Bank

KISS 100

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2021
Posts
528
Reaction score
1,120
Salamu.

Nipo likizo huku Usangi Kilimanjaro milimani Huku.

Nikiwa nyumbani hapa Ngujini nasikia tangazo la speaker.

Nyumba ya Bwana Omari Iddi iliyopo Ngujini na Vudoi Mwanga mjini vitapigwa mnada tarehe 30/12/23.

Frem ya Duka lipo stoo Mombasa vinauzwa.

Nimejifunza kitu hapa, Nmb wakipita kuhamasisha mikopo wapole kweli.

Ukishindwa kurejesha wanakutangaza na vipaza sauti mitaa yote.
 
Salamu.Nipo likizo.hiku Usangi Kilimanjaro milimani Huku.Nikiwa nyumbani hapa Ngujini nasikia tangazo la speaker.
Nyumba ya Bwana Omari Iddi iliyopo Ngujini na Vudoi Mwanga mjini vitapigwa mnada tarehe 30/12/23.
Frem ya Duka lipo stoo Mombasa vinauzwa.
Nimejifunza kitu hapa,Nmb wakipita kuhamasisha mikopo wapole kweli.
Ukishindwa kurejesha wanakutangaza na vipaza sauti mitaa yote.
Unapoweka bond nyumba huwa unafikiri ni Kwa ajili gani?
 
Salamu.Nipo likizo.hiku Usangi Kilimanjaro milimani Huku.Nikiwa nyumbani hapa Ngujini nasikia tangazo la speaker.
Nyumba ya Bwana Omari Iddi iliyopo Ngujini na Vudoi Mwanga mjini vitapigwa mnada tarehe 30/12/23.
Frem ya Duka lipo stoo Mombasa vinauzwa.
Nimejifunza kitu hapa,Nmb wakipita kuhamasisha mikopo wapole kweli.
Ukishindwa kurejesha wanakutangaza na vipaza sauti mitaa yote.
benk uliona wapi wakipita kutangaza mikopo
acha uzushi, mlipie huo mkopo ndugu yako
 
Salamu.Nipo likizo.hiku Usangi Kilimanjaro milimani Huku.Nikiwa nyumbani hapa Ngujini nasikia tangazo la speaker.
Nyumba ya Bwana Omari Iddi iliyopo Ngujini na Vudoi Mwanga mjini vitapigwa mnada tarehe 30/12/23.
Frem ya Duka lipo stoo Mombasa vinauzwa.
Nimejifunza kitu hapa,Nmb wakipita kuhamasisha mikopo wapole kweli.
Ukishindwa kurejesha wanakutangaza na vipaza sauti mitaa yote.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 

Nyumba zinazouzwa baada ya mtu kushindwa kulipa mkopo hapana kwakweli! Unakaa ndani usiku upo na mkeo, unasikia mtoto anacheka bafuni na wakati hamna mtoto.

Upo ndani peke yako ila unahisi umepishana na mtu kabisa wakati unaenda chumbani.
 
Ndio wanakuaibisha namna hiyo
Hawakuaibishi bali wanatangazia wateja wa mnada. Unajua maana ya mnada? Bila wanunuzi kuwa wengi mnada utafeli. Na wanunuzi hawawezi kuota tu kuna nyumba inauzwa bila kuambiwa kwa matangazo. Nilichojifunza mimi ni kuwa watanzania wengi hawajui maana ya kuweka nyumba bond unapochukuwa mkopo.
 

Nyumba zinazouzwa baada ya mtu kushindwa kulipa mkopo hapana kwakweli! Unakaa ndani usiku upo na mkeo, unasikia mtoto anacheka bafuni na wakati hamna mtoto.

Upo ndani peke yako ila unahisi umepishana na mtu kabisa wakati unaenda chumbani.
Huu ni uongo. SIyo kweli. Kwani mnunuzi ana kosa gani? Nawajua watu wengi tu walionunua nyumba za aina hiyo na wanaishi vizuri kabisa. Hii imani ya kijinga kabisa imebuniwa na wadaiwa sugu ili kuwatisha wanunuzi wa nyumba za aina hii.
 
Back
Top Bottom