House4Sale Nyumba Hii Inauzwa Kigamboni mil 28

BANGO JEUPE

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2015
Posts
3,079
Reaction score
2,152
Ina vyumba vinne Na Sebule
Iko Mwemberadu km 2 toka Ferry
Ina umeme na tiles

Bei tsh milioni 28

Unaweza ifanya hostel, kwani kuna wanafunzi wengi wa chuo wanahitaji maeneo ya karibu na ferry
______________________________
Nakapokea Na kutangaza Bure matamgazo ya nyumba,viwanja, mashamba ,magari n.k

Mob/wtsp:+255718295182
______________________________
Bango
 
Mkuu vipi hutaki tubadilishane kwa gari..nikupe bus rosa eingine 4d33 .inabeba watu 26..ya mwaka 2000..lakini sio high roof.haijatumika ipo zenji.. gharama yake 35m lakini nitakubali tubadiishane hiyo nyumba..
 
Mkuu vipi hutaki tubadilishane kwa gari..nikupe bus rosa eingine 4d33 .inabeba watu 26..ya mwaka 2000..lakini sio high roof.haijatumika ipo zenji.. gharama yake 35m lakini nitakubali tubadiishane hiyo nyumba..
Asante kwa ofa yako chief ila sina malengo na gari kwa sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…