Kitomai
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 1,074
- 308
Iwe pembezoni kama si karibu na barabara ya Old Bagamoyo Road basi mita chache kutoka katika barabara hii ( eneo la Mikocheni hadi whitesands, Jangwani Sea Breeze, Beach comber na Berinda) Iwe mpya. iwe na vyumba vya kulala vitatu , (sifa ya nyongeza) vyumba vyote vitatu viwe self conatained. Fenced. Iwe furnished. Iwe na standby generator. Iwe na Swimming pool(si lazima sana), Ikiwa unayo nyumba kama hiyo piga simu haraka sana. 0717114409 au 0755312233.