Dr. Zaganza
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 1,414
- 2,181
Habari wakuu,
Nyumba inauzwa , mahali ilipo ni ni miembe saba, Kibaha mjini , ni nyuma ya tatu toka sheli ya panone , opposite kiwanda cha kusindika chakula cha kuku na binadamu cha Energy.
Sifa zake:
1. Eneo kubwa la uwanja limebaki kiasi cha miguu 20 kwa 70
2.Kuna vyumba vinne vyote vikiwa ni master bed room
3. Kuna frem nne za biashara zinaangalia barabara ya Morogoro
4.Nusu nzima ya nyumba imeezekwa, nusu bado
5. Bei nafuu isiyozidi milioni 40
Piga 0713039875 Kwa maelezo zaidi
Nyumba inauzwa , mahali ilipo ni ni miembe saba, Kibaha mjini , ni nyuma ya tatu toka sheli ya panone , opposite kiwanda cha kusindika chakula cha kuku na binadamu cha Energy.
Sifa zake:
1. Eneo kubwa la uwanja limebaki kiasi cha miguu 20 kwa 70
2.Kuna vyumba vinne vyote vikiwa ni master bed room
3. Kuna frem nne za biashara zinaangalia barabara ya Morogoro
4.Nusu nzima ya nyumba imeezekwa, nusu bado
5. Bei nafuu isiyozidi milioni 40
Piga 0713039875 Kwa maelezo zaidi