choupa moting
JF-Expert Member
- Dec 27, 2016
- 1,508
- 2,563
Habarini za asubuh wadau, kuna nyuma inauzwa kigambon kata ya mji mwema eneo la kibugumo. Ni nyumba ambayo ipo ktika hatua za mwisho kumalizika. Kuna mambo ya yametokea kunahitajika pesa ya haraka ndio sabab inauzwa. Nyumba ina vyumba vitatu kimoja kikiwa master, sitting room, study room, dining na jiko. Ipo kwenye kiwanja cha square meter 800.
Kiwanja kimepimwa bado kupata hati tu na ukinunua au kutaka kununua unafanyia utaratib wa hati na mwenye nyumba ili kukukabidhi kitu ambacho kiko sawa.
Iko kwenye umbali wa takriban mita 150 kutoka main road.
Bei ni milion 45 ila maongez yapo.
Unaweza kunitafuta kwa namba 0746 757 894. Karibuni sana.
Kiwanja kimepimwa bado kupata hati tu na ukinunua au kutaka kununua unafanyia utaratib wa hati na mwenye nyumba ili kukukabidhi kitu ambacho kiko sawa.
Iko kwenye umbali wa takriban mita 150 kutoka main road.
Bei ni milion 45 ila maongez yapo.
Unaweza kunitafuta kwa namba 0746 757 894. Karibuni sana.