M mkurugenzi1 Senior Member Joined Mar 22, 2009 Posts 122 Reaction score 28 Dec 26, 2009 #1 Nyumba inahitajika haraka Tabata bima. Kodi laki 150000 hadi 300000 kwa mwezi iwe na:- uzio na paking. mbali na baa. barabara inayopitika kirahisi. Natanguliza ahsante kwenu wana JF.
Nyumba inahitajika haraka Tabata bima. Kodi laki 150000 hadi 300000 kwa mwezi iwe na:- uzio na paking. mbali na baa. barabara inayopitika kirahisi. Natanguliza ahsante kwenu wana JF.
D dullymo Senior Member Joined Aug 21, 2009 Posts 105 Reaction score 5 Dec 28, 2009 #2 mkurugenzi kuna nyumba kama hiyo ipo magomeni inajengwa kama utakuwa na subra kama kwa wiki tatu hivi utaipata.
mkurugenzi kuna nyumba kama hiyo ipo magomeni inajengwa kama utakuwa na subra kama kwa wiki tatu hivi utaipata.
Teamo JF-Expert Member Joined Jan 9, 2009 Posts 12,271 Reaction score 1,052 Dec 28, 2009 #3 ukifika pale tabata bima,kata kushoto utakuta vibanda vya biashara.kuna dalali pale anaitwa FABITH!namba zake nitakupa ukizihitaji,lakini sio public
ukifika pale tabata bima,kata kushoto utakuta vibanda vya biashara.kuna dalali pale anaitwa FABITH!namba zake nitakupa ukizihitaji,lakini sio public
GP JF-Expert Member Joined Feb 5, 2009 Posts 2,049 Reaction score 161 Dec 28, 2009 #4 mkurugenzi1 said: Nyumba inahitajika haraka Tabata bima. Kodi laki 150000 hadi 300000 kwa mwezi iwe na:- uzio na paking. mbali na baa. barabara inayopitika kirahisi. Natanguliza ahsante kwenu wana JF. Click to expand... hii ni nyumba au FLAT???, anyway nadhani ulimaanisha LAKI MOJA NA NUSU hadi LAKI TATU!!.
mkurugenzi1 said: Nyumba inahitajika haraka Tabata bima. Kodi laki 150000 hadi 300000 kwa mwezi iwe na:- uzio na paking. mbali na baa. barabara inayopitika kirahisi. Natanguliza ahsante kwenu wana JF. Click to expand... hii ni nyumba au FLAT???, anyway nadhani ulimaanisha LAKI MOJA NA NUSU hadi LAKI TATU!!.