Nyumba umepata Mkuu ila weka na dau la dalali kabisa hapa kazi ianze. Kwa taarifa yako tu ni kuwa kuonyeshwa nyumba tu ni 10,000/=, kuongea na mwenye nyumba ni 15,000/=. Ukiipenda nyumba ni ishu nyingine hiyo privately unawez hata kutoa kodi ya miezi sita ni jambo la kawaida. kama unaweza hizi cost niPM niwaambie vijana wafanye kazi fasta