Nyumba inaitajika

MFALME WETU

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2021
Posts
4,071
Reaction score
10,028
Nahitaji Nyumba ya kununua ofa ni milioni 10

Lazima iwe ndani ya mkoa wa Dar.
Maeneo ya Bondeni ❌

Piga simu usitume sms 0749979776
 
Naitaji Nyumba ya kununua ofa ni milioni 10

Lazima iwe ndani ya mkoa wa Dar.
Maeneo ya Bondeni ❌

Piga simu usitume sms 0749979776

10 M kwa nyumba kama nyumba inaweza ikawa ngumu kupata! Ila Pagale au Hizi gari aina ya Vitz,Passo, IST n.k. ..tena ya Mkononi(Iliyotumika) unapata kbs...!

Tena uwe Makini, mtu akikwambia Pagale analiuza kwa 10M, chunguza kwanza kama hajalichukulia mkopo kwa dhamana ya Pagale..! Usiingie kichwa kichwa.
 
Asante kwa ushauri mkuu 👍
 
Ipo nyumba inauzwa kibaha maili moja sheli maeneo ya muheza bei mln 20
Ni nyumba nzuri imejengwa kisasa ila inahitaji finishing tu
 

Attachments

  • VID-20240621-WA0005.mp4
    14.4 MB
Kazi kazi
Nina nyumba Kali inauzwa iko Kisukuru Ina hati Tsh250ML

Nina kiwanja kinauzwa Kisukuru kina faa kujenga Sheli Tsh50ML

Nina kiwanja maeneo ya Majichumvi20x20 kizuri Sana Tsh30ML Nikiwanja Cha pili kutoka Barabara ya zege
0675 065906
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…