Habari wadau
Kuna mdogo angu anapangisha nyumba ya vyumba vitatu vya kulala,sebule kubwa,choo cha public na master, dining na jiko.Nyumba inajitegemea iko peke yake iko goba center karibu na barabara ameshalipa kodi ya miezi sita imebaki miezi mitano amehamishwa kikazi mkoani.Anatafuta mtu wa kureplace kodi ni gharama ndgo tu ni urgent, Haina udalali kama uko interested Ni PM.
Kuna mdogo angu anapangisha nyumba ya vyumba vitatu vya kulala,sebule kubwa,choo cha public na master, dining na jiko.Nyumba inajitegemea iko peke yake iko goba center karibu na barabara ameshalipa kodi ya miezi sita imebaki miezi mitano amehamishwa kikazi mkoani.Anatafuta mtu wa kureplace kodi ni gharama ndgo tu ni urgent, Haina udalali kama uko interested Ni PM.