BANGO JEUPE
JF-Expert Member
- Nov 21, 2015
- 3,079
- 2,152
Sio kila mtu anapajua Kibada, sema basi ni umbali gani kutoka Ferry au daraja la kulipia nk nkPicha zinajieleza zaidi
Ina vyumba vitatu chini, viwili juu +parking + maji +umeme, kila chumba na choo chake, dining na sebule kubea,stoo na bustani
Ipo Kigamboni Kibada km 3.5 toka Ferry
Bei: dolla 700 (malipo miezi 6 n.k)
Ukija kuiona Maongezi yapo
NB: Dalali yangu ni mwezi mmoja
Karibuni sana
Mob:+255 718 295 182
--------------------------------
Bango
Km 3.5 toka ferrySio kila mtu anapajua Kibada, sema basi ni umbali gani kutoka Ferry au daraja la kulipia nk nk
Km 3. Uwongo kwenda kibadaSio kila mtu anapajua Kibada, sema basi ni umbali gani kutoka Ferry au daraja la kulipia nk nk
mkuu si gotofa ni ghotofaGotofa ndo nn
Km 3.5 toka ferry
Duh....ghorofa.mkuu si gotofa ni ghotofa
huo uongo labda 20km
Kibada haipungui kilomita tanoKm 3. Uwongo kwenda kibada
Ferry - Mjimwema (Njia Panda) = 8km
Jina lako limenikumbusha kiwanja kimoja eneo hilo kinaitwa Silver SharkFerry - Mjimwema (Njia Panda) = 8km
Mjimwema - Kibada = 6km
So Ferry - Kibada = 14km
Kuna kiwanja kingine maeneo ya mjimwema kilikua kinaitwa blue fish.Jina lako limenikumbusha kiwanja kimoja eneo hilo kinaitwa Silver Shark
Si kweli,Kibada-Ferry ni takribam km 10.Sio kila mtu anapajua Kibada, sema basi ni umbali gani kutoka Ferry au daraja la kulipia nk nk
Yaan wakati mwingine ukisoma baadhi ya comments ndo unapata picha kuwa watu hamko makini katika kusoma vitu. Ukisoma vzr amesema "ipo Kigamboni Kibada km 3.5 toka Ferry". Lakini wewe unataka aseme ni Km ngapi kutoka Ferry, sasa hapo mwenye tatizo ni wewe kwa kusoma unakimbia kimbia au ni yeye??
Madalali mna raha yaani mteja akijichanganya tu unapiga dola 700 yako kiulaini kabisa[emoji1]
Km 3.5 toka ferry