House4Rent Nyumba inapangishwa Kigamboni

House4Rent Nyumba inapangishwa Kigamboni

Hanansky

Member
Joined
Nov 22, 2020
Posts
21
Reaction score
7
Nyumba inapangishwa kigamboni kwa sh. 300,000 karibu na petrosheni eneo la kwa msomali. Ina vyumba viwili vyote self contained, sebule, dinning room, choo Cha nje, jiko, umeme, maji, fensi pamoja na eneo la parking. Nyuma haijaisha hivyo nategemea hela ya pango niweze kumalizia ujenzi.

Mawasiliano 0754433841

IMG_20201205_122419_422.jpg
IMG_20201205_121612_132.jpg
IMG_20201205_123455_881.jpg
IMG_20201205_123151_560.jpg
 
Sidhani Kila mpangaji lazima alipie pale tu anapotaka kuingia kwenye nyumba husika! wapo wanaolipia kabla. Na kwa kawaida siwezi kumhesabia mtu wakati hajaanza kuishi kwenye nyumba
Wakati unamalizia ujenzi, mpangaji atakuwa anaishi wapi. Na miezi hiyo utaiifidiaje.

Picha tunaruhusiwa kuweka?
 
Sidhani Kila mpangaji lazima alipie pale tu anapotaka kuingia kwenye nyumba husika! wapo wanaolipia kabla. Na kwa kawaida siwezi kumhesabia mtu wakati hajaanza kuishi kwenye nyumba
Picha ya hiyo nyumba ili mtu afanye calculation
 
Mi napangisha gezaulole anayehitaji aniambie nimpe details
 
Nyumba inapangishwa kigamboni kwa sh. 300,000 karibu na petrosheni eneo la kwa msomali. Ina vyumba viwili vyote self contained, sebule, dinning room, choo Cha nje, jiko, umeme, maji, fensi pamoja na eneo la parking. Nyuma haijaisha hivyo nategemea hela ya pango niweze kumalizia ujenzi.

Mawasiliano 0754433841

View attachment 1642902
Mkuu 380k unakula?
 
Huo ni umasikini yani usubiri hela ya mpangaji ndio umalizie nyumba??
 
Kweli mi maskini ndio maana nimeshindwa kujenga nikataka kukikwamua kwa njia hiyo ya kusubiri Kodi ya mpangaji kheri yako wewe tajiri
Huo ni umasikini yani usubiri hela ya mpangaji ndio umalizie nyumba??
Ii
 
picha zenyewe umepiga kama nyumba unaiogopa
Sio Kila mtu anaujuzi wa kupiga picha ndio maana kuna photographer Kama mjuzi wa hilo ila nami nimejaribu kupiga kwa kiwango changu.asante babaa
 
Back
Top Bottom