Kitomai
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 1,074
- 308

Ipo Makongo juu. In chumba kimoja cha kulala chenye choo na bafu, sebure, sehemu ya kulia chakula, jiko, choo cha wageni na vibaraza mbele na nyuma. Nyumba imezungushiwa uzio. Kodi tshs 500,000 kwa mwezi. Kuiona tuwaseliane kupitia 0784225000. Kutazama nyumba nyingine tembelea www.kitomai.com