Wadau vipi, mbona kimya!
Wadau vipi, mbona kimya!
Wadau vipi, mbona kimya!
Dola 3500 x 1508= ----- kwa mwezi
Duh ngoja niwe dalali anaruhusiwa?
Wasiliana na dalali Kitomai, nadhani ana uzoefu wa kutosha kwenye hii mambo.
Hapa JF ni kwa wananchi wa kawaida. Peleka tangazo lako kwa Mafisadi Pfu yako
Kwa bei hio kwa mwezi x 12 in advance ni rahisi sana kuona ni kwanini hakuna mtu aliyejibu tangazo lako!!
Kila na heri anyway!!