House4Rent Nyumba inapangishwa Tegeta Masaiti

Susan85

Member
Joined
May 23, 2017
Posts
86
Reaction score
19
Nyumba inapangishwa Tegeta Masaiti 1km kutokea Kibo complex na pia 1km kutokea nyuki sokoni.

Nyumba ina vyumba 2, sebule, dining, choo na bafu. Nje ina servant house ya vyumba viwili na mabanda ya kuku mawili yenye uwezo wa kufuga kuku broiler, kienyeji/

bata au sungura.

Eneo zima linakodishwa kwa laki 4.

Whatssap 0754840408/ 0756661761

 
Mbona nyumba imeanguka chini, huoni unatutesa macho..!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…