kimpango
JF-Expert Member
- Apr 24, 2011
- 600
- 717
Wadau nimepata uhamisho natakiwa niripot mtwara tarehe 1vNov 2016 .Hivyo sina budi kuhama ikiwa bado miezi miwili kodi iishe kuanzia Nov 1. Hivyo basi ujiwa na kodi ya miezi miwili unirudishie unaingia..miezi ikiisha unaendelea kulipa kodi ya miezi 6 ..3 au 12 kadri utavyoelewana na mwenye nyumba
Nyumba ina vyumba viwili kimoja master, sitting room jiko , bafu na choo cha public maji masaa 24 yanaflow ndani ,luku yako ina fensi na geti parking kubwa ya gari.kutoka barabara ya lami (Morogoro Road)kituo cha mwendokasi cha Kibo ni umbali wa dakika 3 kwa miguu.kodi ni sh 300000 laki tatu kwa mwezi
Ukinitafuta mwenyewe haina dalali ..jst kutambulishana kwa Mwenye nyumba
Mwenye uhitaji nipigie au watsupp 0746778065
Pia dalali mwenye mteja anaruhusiwa kuiona na kumleta malipo ya dalali hayatanihusu
Nyumba ina vyumba viwili kimoja master, sitting room jiko , bafu na choo cha public maji masaa 24 yanaflow ndani ,luku yako ina fensi na geti parking kubwa ya gari.kutoka barabara ya lami (Morogoro Road)kituo cha mwendokasi cha Kibo ni umbali wa dakika 3 kwa miguu.kodi ni sh 300000 laki tatu kwa mwezi
Ukinitafuta mwenyewe haina dalali ..jst kutambulishana kwa Mwenye nyumba
Mwenye uhitaji nipigie au watsupp 0746778065
Pia dalali mwenye mteja anaruhusiwa kuiona na kumleta malipo ya dalali hayatanihusu