House4Sale Nyumba inauzwa bunju B

okyo

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2013
Posts
2,003
Reaction score
1,507
Wakuu salaam
Kama ambavyo tangazo linajieleza,nyumba hii inauzwa bado haijakamika IPO kwenye lenta ,nyumba IPO Bunju B(Mugemuzi) pale sokoni unapandisha juu kidogo ni kama 1.5km toka barabarani
Nyumba INA vyumba viwili,kimoja master na kingine cha kawaida na public toilet,na jiko na seating room kiwanja ni 20x20
Karibuni
Bei ni 12 milion
Mawasiliano
0652482782
0743830276
 
Ikifika August Bado Ipo Tuwasiliane mkuu! Pesa yangu haijatimia.....
 
Anaehitaji nyumba ya vyumba 4 kiwanja kina hati, umeme umeshavutwa Bunju B ,Inahitaji morden finishing .price 110 MIL ,TEL 071265211O
 
Wadau karibu usiogope ni tafuta maelewano yapo pia nyumba bado ipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…