House4Sale Nyumba inauzwa Chang'ombe Usalama

House4Sale Nyumba inauzwa Chang'ombe Usalama

albertt

JF-Expert Member
Joined
Dec 28, 2013
Posts
339
Reaction score
78
Nyumba inauzwa ipo chang'ombe usalama ipo barabarani kabisa,ni eneo safi sana kwakuweka godown,yard ya magari,Kama wengine pembeni walivo fanya.bei ni milioni 550.Kama upo serious nichek 0716385824
 

Attachments

  • 1462773550248.jpg
    1462773550248.jpg
    34.9 KB · Views: 83
  • 1462773631258.jpg
    1462773631258.jpg
    44.4 KB · Views: 73
  • 1462773649437.jpg
    1462773649437.jpg
    44.5 KB · Views: 70
!! Duuu - jiulize mwenyewe kwanza - ungekuwa na 550M ungenunua hapo?
Eni wei - kila na heri
 
Bwana we utapata wateja apo panasoko kwa watu wenye magitaji napo achana nawatu wamipasho pambana tu jf himekua km fb
 
vp hiyo bei ni elekezi kweli.....nb ngoja wateja waje
 
Nyumba inauzwa ipo chang'ombe usalama ipo barabarani kabisa,ni eneo safi sana kwakuweka godown,yard ya magari,Kama wengine pembeni walivo fanya.bei ni milioni 550.Kama upo serious nichek 0716385824
Sema kiwanja. Weka ukubwa in m2
 
550M=nyumba 50 za kisasa ndani ya Dar es salaam
 
Back
Top Bottom