House4Sale Nyumba inauzwa Ilala Bungoni

House4Sale Nyumba inauzwa Ilala Bungoni

Jeez1

New Member
Joined
Apr 1, 2018
Posts
4
Reaction score
4
Ilala Bungoni
Bei milion 350…
Kwa mawasiliano #0759609942

a5f05485-b137-442f-aefc-adbbdfdc7f04.jpg
 
Nyumba inayouzwa ni hii ya mbele, ya upande wa kushoto mwa mpiga picha, au lile gorofa nyuma? Mkuu.
 
mbona umechukua picha kwa mbali, si unaongelea ile ghorofa kiongozi!!
 
Ungetoa vipimo vya ukubwa wa kiwanja ndio kitu cha maana. Hiyo nyumba kwa vyovyote si nyumba mtu ataiacha bila kuibomoa. Sema unauza kiwanja chenye banda la kubomoa kwa milioni 350 nje kidogo ya jiji
 
Ungetoa vipimo vya ukubwa wa kiwanja ndio kitu cha maana. Hiyo nyumba kwa vyovyote si nyumba mtu ataiacha bila kuibomoa. Sema unauza kiwanja chenye banda la kubomoa kwa milioni 350 nje kidogo ya jiji
hizo nyumba za Nationa Housing miaka ya 1980 ukubwa utakuwa ni 25 kwa 25 si zaidi ya hapo.
 
Back
Top Bottom