House4Sale Nyumba inauzwa ipo Mbagala Kijichi

House4Sale Nyumba inauzwa ipo Mbagala Kijichi

Anill

Senior Member
Joined
Apr 3, 2019
Posts
183
Reaction score
372
Ina vyumba vitano kwa ndani, bafu choo, na kuna vyumba viwili vya nje pamoja na eneo kubwa kwa nnje, nyuma na mbele.

Eneo la mbele ni kubwa unaweza ongeza nyumba nyingine au fremu za biashara, kwa nyuma pia kuna eneo kubwa, Gari linafika hadi mlangoni

Document zote zipo nyumba haina mgogoro wowote

tapatalk_1585543698365.jpeg
tapatalk_1585543693787.jpeg
tapatalk_1585543703107.jpeg


BEI MIL 40, maongezi yapo

0678096545

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ina vyumba vitano kwa ndani, bafu choo, na kuna vyumba viwili vya nje pamoja na eneo kubwa kwa nnje, nyuma na mbele.

Eneo la mbele ni kubwa unaweza ongeza nyumba nyingine au fremu za biashara, kwa nyuma pia kuna eneo kubwa, Gari linafika hadi mlangoni

Document zote zipo nyumba haina mgogoro wowote

View attachment 1403685View attachment 1403686View attachment 1403687

BEI MIL 40, maongezi yapo

0678096545

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini nyumba nyingi huko mbagala zinauzwa sanaa,au nyumba zinajengwa chini ya viwango biskuti??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom