gari linafika hadi mlangoni mkuu dk chache tu hadi barabarani 0678096545Gari linafika hapo? umbali mpaka barabara kuu?
Kwanini nyumba nyingi huko mbagala zinauzwa sanaa,au nyumba zinajengwa chini ya viwango biskuti??Ina vyumba vitano kwa ndani, bafu choo, na kuna vyumba viwili vya nje pamoja na eneo kubwa kwa nnje, nyuma na mbele.
Eneo la mbele ni kubwa unaweza ongeza nyumba nyingine au fremu za biashara, kwa nyuma pia kuna eneo kubwa, Gari linafika hadi mlangoni
Document zote zipo nyumba haina mgogoro wowote
View attachment 1403685View attachment 1403686View attachment 1403687
BEI MIL 40, maongezi yapo
0678096545
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini nyumba nyingi huko mbagala zinauzwa sanaa,au nyumba zinajengwa chini ya viwango biskuti??
Sent using Jamii Forums mobile app
UmeuzaIna vyumba vitano kwa ndani, bafu choo, na kuna vyumba viwili vya nje pamoja na eneo kubwa kwa nnje, nyuma na mbele.
Eneo la mbele ni kubwa unaweza ongeza nyumba nyingine au fremu za biashara, kwa nyuma pia kuna eneo kubwa, Gari linafika hadi mlangoni
Document zote zipo nyumba haina mgogoro wowote
View attachment 1403685View attachment 1403686View attachment 1403687
BEI MIL 40, maongezi yapo
0678096545
Sent using Jamii Forums mobile app