Nishapata goba nasubiri uingize pesa 😂😂😂
Kwa mawasiliano zaidi nipige namba ipiNishapata goba nasubiri uingize pesa 😂😂😂
Ile ile inayoishia na zero 😂😂😂Kwa mawasiliano zaidi nipige namba ipi
Ukubwa wa eneo? Anyway, watanzania wanaruhusiwa kununua nyumba Zanzibar?Location: Michamvi, Unguja, Zanzibar karibu na Karafuu Hotel
Price: 33,000,000/= Tshs
Contact: +255742004658 (WhatsApp only)
•Ina vyumba viwili na vyote ni self-contained
•Sebule
•Dining room
•Jiko
•Kifusi ndani kishajazwa
•Shimo la choo tayari limechimbwaView attachment 3013259View attachment 3013260
View attachment 3013262
Sipo well-informed kwenye suala la umiliki wa ardhi kwa wasio waZanzibari kisheria, ila kwa nijuavyo mpaka sasa ni kwamba mtu yeyote asiekuwa mZanzibari mkazi anaruhusiwa kumiliki ardhi kwa muda as long as anaitumia kibiashara (uwekezaji) mpaka pale atakapotimiza vigezo vya kupewa kitambulisho cha mZanzibari mkazi ambapo hapo atakuwa ashakuwa na haki ya umiliki wa moja kwa moja.Ukubwa wa eneo? Anyway, watanzania wanaruhusiwa kununua nyumba Zanzibar?
ukweli mchungu huoWa Bara Hawaruhusiwi Kumiliki Ardhi Huko