0768628314
Member
- Apr 22, 2019
- 44
- 96
Hio ni nyumba mkuu sio ka nyumba kama ni boma lililo ezekwa basi sawa kama kiwanja unanunua mpaka mil 10 je ujenzi wewe kama huna pesa sema sina hicho kiasi tujueKumbe katoro pesa ya madini ipo nje nje,
hivi kuna nyumba ya m95 hapo? Au ni boma lililo ezekwa bati.
Ndio mkuu vipo ila mi sio dalali ila viwanja vipo vingi ni pesa yako tuKatoto viwanja vinapatikana
Shukrani mkuu muhitaji na mnunuzi atakuja na bei yake tutazungumzaNyumba hujafanya finishing m95 bado ni kubwa, mshauri muuzaji aweke Bei reasonable
Afu sema tu Ina vyumba vinne! Mambo ya chumba Cha watoto wa kiume, mara wa kike hayana umuhimu
Anyway Kila la kheri
Huko kijijini ukiuza bei kubwa saana haitazidi 40MNyumba ipo sokoni inahitaji finishing tu.
Piga sim kwa mmiliki no 0692547049 au 0768628314 & whatsapp
Ina vyumba vya kulala 4
Master 1
Chumba cha kulala watoto wa kiume 1
Chumba cha kulala watoto wa kike 1
Chumba cha wageni 1
Sebure kubwa sana
Chumba cha chakula
Jiko
Stoo
Vyoo vya ndani
Kisima kipo
Umeme upo mlangoni ni wewe na mita yako tu.
Inapatikana katoro-geita
Nyumba ya kisasa ya familia ina hitaji mtu makini alie serious inahitaji ml.95
0692547049 au 0768628314 & whatsapp
View attachment 2515518View attachment 2515519View attachment 2515520View attachment 2515521View attachment 2515522
Ni sawa pia kikubwa maelewano baina ya mnunuzi na muuzaji hii ni biashara ukisema kijijini unakosea hongera yako unae ishi mjini mkuuHuko kijijini ukiuza bei kubwa saana haitazidi 40M
Tunaweza zungumza kama utayari unaoMkuu, 60m sipati?
Ongeza dau tuongee biashara bossMkuu bei yako iko juu sana hapo 38m chukua
Hapo ndo utajua tofauti ya nyumba za serikali na nyumba za wapambanaji wasio ogopa gharama za bati..Dah
Hiyo kwakweli iuzwe tu
Paa linashindana na Mt Kilimanjaro
Sasa mkuu hiyo dropping from 95-75...Nyumba ipo sokoni inahitaji finishing tu.
Piga sim kwa mmiliki no 0692547049 au 0768628314 & whatsapp
Ina vyumba vya kulala 4
Master 1
Chumba cha kulala watoto wa kiume 1
Chumba cha kulala watoto wa kike 1
Chumba cha wageni 1
Sebure kubwa sana
Chumba cha chakula
Jiko
Stoo
Vyoo vya ndani
Kisima kipo
Umeme upo mlangoni ni wewe na mita yako tu.
Inapatikana katoro-geita
Nyumba ya kisasa ya familia ina hitaji mtu makini alie serious inahitaji ml.75
0692547049 au 0768628314 & whatsapp
View attachment 2516448View attachment 2516449View attachment 2516451View attachment 2516452View attachment 2516450