Nyumba inaukubwa wa SQM- 450 ,Ipo karibu na ghorofa za NHC na chuo cha DUCE.
Nyumba ipo katika eneo tulivu kabisa wenyeji wa eneo hili wanaita hii Nyumba kijiji kutokana na Nyumba nyingi zilizopo ndani ya UA moja na kila Nyumba ndani yake ina Luku yake, Sebule, jiko, toilet na vyumba viwili hadi vitatu.
Nyumba inaeneo kubwa la parking mpaka gari 3 kubwa.Nyumba inauzwa M- 450,000,000/= maongezi yapo....!!!
Nicheki- 0716856398
Nyumba ipo katika eneo tulivu kabisa wenyeji wa eneo hili wanaita hii Nyumba kijiji kutokana na Nyumba nyingi zilizopo ndani ya UA moja na kila Nyumba ndani yake ina Luku yake, Sebule, jiko, toilet na vyumba viwili hadi vitatu.
Nyumba inaeneo kubwa la parking mpaka gari 3 kubwa.Nyumba inauzwa M- 450,000,000/= maongezi yapo....!!!
Nicheki- 0716856398