mtwa mkulu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 8,586
- 11,227
Nyumba inauzwa ipo kibaha mwenda pole. Si mbali na barabara kuu iendayo dar es salaam.
Ina vyumba 3 master 2 single Moja Ina sitting room dining room jiko store umeme maji mabanda ya kuku ya kisasa Ina tiles na madirisha ya aluminum.
Ukubwa wa eneo ni hatua 20 Kwa 60. Bei ni sh milioni 80 Tu.
Sababu.
Familia imehamisha makazi
Baadhi ya picha nimeambatanisha
Wasiliana na mimi Moja Kwa Moja 0735203020
Hakuna udalali.
Ina vyumba 3 master 2 single Moja Ina sitting room dining room jiko store umeme maji mabanda ya kuku ya kisasa Ina tiles na madirisha ya aluminum.
Ukubwa wa eneo ni hatua 20 Kwa 60. Bei ni sh milioni 80 Tu.
Sababu.
Familia imehamisha makazi
Baadhi ya picha nimeambatanisha
Wasiliana na mimi Moja Kwa Moja 0735203020
Hakuna udalali.