Arturo mateo
JF-Expert Member
- Oct 9, 2020
- 636
- 1,076
Ipo Kibaha kwa Mfipa, ni kama 5 toka barabara kubwa inauzwa ml 90. Huduma ya maji na umeme vipo karibu, ina kisima cha maji pia, nyumba kubwa ya vyumba 3 na master. Pia kuna nyumba ndogo yenye vyumba vinne na yapo mabanda ya kufuga makubwa matatu, unaweza kufuga kuku, ng'ombe, mbuzi n.k, vyote hivyo vipo
Ndani ya eneo la ekari moja.
+255672893600
Ndani ya eneo la ekari moja.
+255672893600