House4Sale Nyumba inauzwa Kigamboni bei rafiki sana

Joined
Jun 11, 2011
Posts
82
Reaction score
46
NYUMBA INAUZWAAA BEI CHEEEE

NYUMBA IPO KIGAMBONI MWEMBE MTENGU...
Master 2
Living room 2
Kitchen 1
Public toilet 1
Dinning 1
Seating 1
Ukubwa eneo 400sqm(20*20)
Bei milion 29
MAWASILIANO
+255784379396
+255789782415
Email: leonapolinary@gmail.com

 
Kuna kitu si bure. Nyumba kubwa kwa bei hiyo? Au ndiyo katika lile kundi la nymba ambazo hazikali? Usiku unakumbana na matukio
 
Mambo ya kiimani hayajawahi kufanyika humo? Hili nalo huwa tatizo lingine kwa makazi ya waswahili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…