House4Sale Nyumba Inauzwa Kigamboni Mikwambe Mil 60

Kahtan Ahmed

JF-Expert Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
765
Reaction score
490
Asalaam alaikum,

Napenda kuwatangazia kua nina nyumba nauza kigamboni mikwambe yenye sifa zifuatazo

. Nyumba ipo kigamboni Mikwambe
. Nyumba ya pili toka barabara kuu ya lami ya kigamboni
. Nyumba ina vyumba vitatu wiwili masters
. Ina Dining, sitting room, jiko na public toilet, parking
. Kiwanja kina ukubwa wa sqm 320
. Nyumba ina fance kote na geti
. Bei mil 60 maongezi yapo
Kwa mawasiliano zaidi 0762987034
Asanteni Sana

 
Nyumba ina one master bedroom na one ensuite room.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…