House4Sale Nyumba inauzwa Kigamboni

House4Sale Nyumba inauzwa Kigamboni

Bill DanOI

New Member
Joined
Mar 9, 2018
Posts
3
Reaction score
0
Semi finished iko muembe mdogo, Kigamboni Dsm....in vyumba 3 kati ya hivyo 2 ni self contained, jiko na stoo yake,sebule na dinning room pamoja na public toilet. Imeshawekwa grills madirisha yote na milango ya chuma kwa mbele na nyuma. Rough floor chini tayari kasoro nusu ya sebule na chumba kimoja. Ukubwa wa kiwanja ni eka 1/mita za mraba 4900. Nyumba iko mita 300 kutoka barabara kubwa ya lami ya kwenda Kimbiji. Bei 33 milioni, lipa hata kwa awamu 3. Ukihitaji kiwanja peke yake bila nyumba au nyumba na kiwanja kidogo tunaweza ongea pia. Tuwasiliane kwa 0620347647
IMG-20180205-WA0032.jpg
IMG-20180205-WA0017.jpg
IMG-20180205-WA0016.jpg
 
Duh kwa usawa wa Magu M33 ...... tunaisikia tu
hapo barabara hamna kabisa labda shamba /kiwanja ndio tuzungumze
mgoka waje
 
Duh kwa usawa wa Magu M33 ...... tunaisikia tu
hapo barabara hamna kabisa labda shamba /kiwanja ndio tuzungumze
mgoka waje
Barabara kuu as I said iko mbele kidogo, sikumaanisha hako ka njia kanakoonekana kupita hapo mbele mkuu! Ni nyingi kweli ndio maana nikatoa option ya kulipa kwa awamu 3!
 
Back
Top Bottom