House4Sale Nyumba inauzwa Kimara mwisho

House4Sale Nyumba inauzwa Kimara mwisho

bintishomvi

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2015
Posts
1,164
Reaction score
833
Nyumba ipo Kimara mwisho km 3 kutoka barabara ya MOROGORO maeneo ya Mavurunza eneo limepimwa lina ukubwa wa sq mita 900 nyumba imeishia linta ,(haijapauliwa) ni selfu ina vyumba 3 vya kulala kimoja wapo ni master sebure,sehemu ya chakula, jiko stoo vyoo 2 vya ndani ipo sehemu nzuri gari inafika na eneo la kujenga nyumba nyingine.
Bei ml 24
Mawasiliano 0718202286.

8b9c8ac3596eea5bbb59770276270239.jpg


7765bdd31c5ecb05e0d2dbb4c70b4075.jpg
 
Maana ya nyumba ni nini?. Hivi jengo kama halijaezekwa unaweza ita nyumba?
 
Nauza Kiwanja maeneo ya airport ilemela-mwanza. Ukubwa 30m*27m (sqm 810). Bei 1.8 ml. 0753101293
 
Back
Top Bottom