bintishomvi
JF-Expert Member
- Mar 21, 2015
- 1,164
- 833
Hili ni tangazo la kuuza nyumba na si zoezi la imlaSikwea,selfu,chakura nk.
Ni shida,lugha ilisafiri kwa meli na ndege
Njoo uone utojuta nyumba ipo sehemy nzuri na nyumba za kiswahiri hapo hamna24M parefu sana tusubiri wenye nazo.
Kwa hiyo unashauri tuitejeMaana ya nyumba ni nini?. Hivi jengo kama halijaezekwa unaweza ita nyumba?
Kwahiyo unashauri tuitejeMaana ya nyumba ni nini?. Hivi jengo kama halijaezekwa unaweza ita nyumba?
Ipo kwa mashaka maeneo ya j5 alimaharufu karibu na holu na bar ya j5 karibu uioneIpo mavurunza sehemu gani? mimi ni mkazi wa huko nataka iona
Pesa bado ipo kwenyemzunguuko ila matumizi yasiyo ya ladhima ndio yamebana .Mkuu kwa hali ilivyo na inakoelekea utauza half of the current price.Pesa kwa sasa ipo serikalini tu
PagaleKwa hiyo unashauri tuiteje