Baba jayaron
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 4,324
- 5,933
Habari wanajamvi,
Napenda kuwatangazia biashara ya nyumba inauzwa kiuhalali Kinyerezi mwisho yenye sifa zifuatazo
1. Nyumba kubwa na banda la uani (nyumba ndogo)
Nyumba kubwa ina:
Vyumba vitatu vya kulala
Kimoja masterbedroom
Choo cha ndani
Chumba cha kupikia
Dining room (pakulia chakula)
Sitting room
Milango ya mbao na geti, madirisha gril ezeko la bati.
2. Nyumba ndogo ina vyumba vi nne na sehemu yakupikia, choo cha nje.
Ppia kuna Tank la Maji kuubwa, pia eneo lingine limebakia
Nyumba ni Mpya na haina mmgogoro.
Pia haina udalali.
 Bei ni Tsh50ml
Maongezi kidogo yapo.
Mawasiliano
0789606051
Napenda kuwatangazia biashara ya nyumba inauzwa kiuhalali Kinyerezi mwisho yenye sifa zifuatazo
1. Nyumba kubwa na banda la uani (nyumba ndogo)
Nyumba kubwa ina:
Vyumba vitatu vya kulala
Kimoja masterbedroom
Choo cha ndani
Chumba cha kupikia
Dining room (pakulia chakula)
Sitting room
Milango ya mbao na geti, madirisha gril ezeko la bati.
2. Nyumba ndogo ina vyumba vi nne na sehemu yakupikia, choo cha nje.
Ppia kuna Tank la Maji kuubwa, pia eneo lingine limebakia
Nyumba ni Mpya na haina mmgogoro.
Pia haina udalali.
 Bei ni Tsh50ml
Maongezi kidogo yapo.
Mawasiliano
0789606051