House4Sale Nyumba inauzwa mabibo

Msafiri93

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2016
Posts
421
Reaction score
296
Nyumba inauzwa ipo Mabibo Makutano Mita 300 Kutoka N.I.T kuelekea makutano

Nyumba ipo kwenye Eneo la mita 45
Ina apartments za kuishi Sita
Ina fremu NNE



Bei ni 300 million
Mazungumo yapo

Karibu ..0717 752114
 
Nyumba inauzwa ipo Mabibo Makutano Mita 300 Kutoka N.I.T kuelekea makutano

Nyumba ipo kwenye Eneo la mita 45
Ina apartments za kuishi Sita
Ina fremu NNE



Bei ni 300 million
Mazungumo yapo

Karibu ..0717 752114
Kwa bei hiyo kwanini nisinunue mjengo kwenye prime area kama Mbezi Beach, etc
Madali mnasababisha nyumba zisiuzike
 
Kwa bei hiyo kwanini nisinunue mjengo kwenye prime area kama Mbezi Beach, etc
Madali mnasababisha nyumba zisiuzike
Hapana mkuu njoo tuzungumze
Bei inapungua
 
Duh....300M? kwa hiyo nyumba?? ..........Dunia inakuona.
 
Hii nyumba kama naifahamu na nilishawahi ktishi haiangaliani na loyola high school kweli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…