Nyumba inauzwa Madale mivumoni

Adonai real estate

New Member
Joined
Sep 5, 2024
Posts
4
Reaction score
1
Nyumba inauzwa madale mivumoni karibu na kaseke primary school
Ina eneo la ukubwa wa 487 square meters
Ina vyumba 3 master na choo cha public na jiko
Inatank la maji la lita 3000
Bei ni 170M
Karibuni sana
 
Naona nyumba full aluminium window, tiles, gypsum alafu umepaulia m-south. Na zaidi kwa kujali wateja wako umewawekea nyumba ndani ya fence bila kusahau parking nzuri ya magari na chini umewawekea paving blocks
 
Hilo bati Hapo mi msauzi au kigae Cha Nabaki Africa LTD?
 
Nimependa huo muonekano wa chooni, CCTV kamera kila sehemu, hicho kijumba hapo pembeni ya geti ni chumba cha mlinzi au mbwa
 
Nyumba nzuri sema ilipokosewa geti la kizamani,ingekua na geti la kuslide fasta tu ungeuza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…