Pionaire
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 1,603
- 1,135
kama maelezo yanavyojieleza hapo, nyumba haina tatizo wala mgogoro wowote inaishi familia ya mtu mmoja ina ROOM 4, Inafaa sana kama mtu ana malengo ya kumiliki hapo ili aje kupandisha jengo la kibiashara kama Hotel maana kiukweli hii mitaa ya huku kwasasa inanuliwa na matajiri kwa ujenzi wa hotels, yard za magari na mafremu...
Sio mbali sana na barabara ya lami ya Morogoro road na njia mbili za lami zinazoelekea mabibo miundo mbinu ipo vizuri inafikika kwa gari bila shida, bei yake mil.140tshs...
kama mnunuzi atahitaji kuunganisha awe na eneo kubwa anaweza kuuziwa nyumba nyengine hapohapo jirani pembeni kwa jumla ya MIL.300TSHs zote mbili...maongezi yapo pia kwa atakayehitaji anaweza piga simu za muhusika moja kwa moja Namba: 0788260500 au 0674999110...hakuna dalali hapo, Tajiri kufikishwa kuziona ni bure kabisa, asanteni.
Sio mbali sana na barabara ya lami ya Morogoro road na njia mbili za lami zinazoelekea mabibo miundo mbinu ipo vizuri inafikika kwa gari bila shida, bei yake mil.140tshs...
kama mnunuzi atahitaji kuunganisha awe na eneo kubwa anaweza kuuziwa nyumba nyengine hapohapo jirani pembeni kwa jumla ya MIL.300TSHs zote mbili...maongezi yapo pia kwa atakayehitaji anaweza piga simu za muhusika moja kwa moja Namba: 0788260500 au 0674999110...hakuna dalali hapo, Tajiri kufikishwa kuziona ni bure kabisa, asanteni.