clinton gidioni
Senior Member
- Oct 24, 2016
- 145
- 165
Habari wanajamii forum nyumba inauzwa mbagara sabasaba nyuma ya shule ya st antony. Pia iko karibu na barabara na gari linafika hadi nyumbani.
NYUMBA INASIFA ZIFUATAZO.
- ina umeme
- ina maji (maji sio ya chumvi)
-nyumba imesha sakafiwa pia ina tiles na gypsum kwa juu.
-nyumba ina vyumba vinne vya kulala ina jiko ina stoo ina vyoo viwili cha nje na cha ndani.
NYUMBA INA NYARAKA ZOTE.
Karibuni sana napatikana kupitia namba 0657623266
NYUMBA INASIFA ZIFUATAZO.
- ina umeme
- ina maji (maji sio ya chumvi)
-nyumba imesha sakafiwa pia ina tiles na gypsum kwa juu.
-nyumba ina vyumba vinne vya kulala ina jiko ina stoo ina vyoo viwili cha nje na cha ndani.
NYUMBA INA NYARAKA ZOTE.
Karibuni sana napatikana kupitia namba 0657623266