Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safari ya Bush imewadia nini? Magufuli bwana kiboko, kaziba mirija yote.Nyumba inauzwa Ipo maeneo ya Mbezi makabe
ukubwa wa uwanja ni 20 kwa 30
ina vyumba vitatu(master 1)
Public toilet
jiko na store
Kwa anaye hitaji tuwasiliane kwa simu namba: 0656 135 500View attachment 346579View attachment 346580
Nyumba inauzwa Ipo maeneo ya Mbezi makabe
ukubwa wa uwanja ni 20 kwa 30
ina vyumba vitatu(master 1)
Public toilet
jiko na store
Kwa anaye hitaji tuwasiliane kwa simu namba: 0656 135 500View attachment 346579View attachment 346580
hahahahah penda sana comments za JF mie maana zinaniongezeaq furaha😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀Safari ya Bush imewadia nini? Magufuli bwana kiboko, kaziba mirija yote.
Wakija wageni wengine kama marafiki nk hawaruhusiwi kutumia hiyo unayoita family toilet?Niuie radhi mkuu public toilet itakuwaje ndani ya nyumba ni family house tena ni self contained? Neno sahihi ingekuwa family toilet.
Wakija wageni wengine kama marafiki nk hawaruhusiwi kutumia hiyo unayoita family toilet?
Hahahaha sawa bwana, nime-connect idea yako na "public transport" nikapata jibu linaloridhisha.Wageni na marafiki wanatumia family toilet lakini haijawa public toilet. Public toilet ni zile za e.g Ubungo terminals.