NYUMBA INAUZWA- MILI 150; buguruni rozana

Mrekebishaji....weka tangazo vizuri!!
Hiyo nyuma ipo buguruni eneo lipi?? Jirani na nini?? Ni ya kisasa ama??
 
ukitoka buguruni sokoni unaenda kko. baada ya soko kuna flat(ghorofa), halafu kuna barabara inaingia kulia kwako; ukiingia nyumba ipo karibu na barabara, kimsingi ni eneo zuri kwa kujenga nyumba nyingine ya biashara, iliyopo imechoka, kama mjuavyo nyumba za wenyeji wetu hapo zilivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…